Home » » Vicoba Mufindi sasa kuwasaidia yatima

Vicoba Mufindi sasa kuwasaidia yatima

Iringa.Wanachama wa vikundi vinane vya Benki za Jamii(Vikoba) Kata ya Igowole, wilayani Mufindi, mkoani hapa, wameanzisha mfuko maalumu kuchangia malezi ya watoto yatima na wanaoishi mazingira magumu. Uamuzi huo ulifikiwa na baada ya kubaini uwapo wa ongezeko la watoto hao, linalotokana na wazazi wao kufariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ukimwi.
Ofisa Maendeleo Kata ya Igowole, Khery Chalamila alisema kuna kaya 2,769 zinakabiliwa na ongezo kubwa la watoto yatima.
Chanzo;Mwananchi

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa