Home » » AJALI -- BASI NA LORI YAGONGANA WATATU MAJERUHI MKOANI IRINGA

AJALI -- BASI NA LORI YAGONGANA WATATU MAJERUHI MKOANI IRINGA

 Gari lenye namba  za usajili T606 BJB  lilolokuwa linaelekea Ifunda kutoka Stand kuu ya Iringa limepata ajali eneo la Kitwiru baada ya kugongana na  Lori lenye namba T 234 CLU ambalo ni Mali ya T.H Clements & Son LTD, Ajali hii ilitokea baada ya Dereva wa basi alipojaribu kulipita Lori hilo bila mafanikio na watu watatu wamejeruhiwa katika ajali hiyo. (Picha na Said Ng'amilo)



Kwa hisani ya 
Mjengwa blog

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa