Home » » MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2013 ZAINGIA MKOANI IRINGA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE ATAKA WANASIASA WANAOPINGA MWENGE KUWAJIBISHWA

MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2013 ZAINGIA MKOANI IRINGA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE ATAKA WANASIASA WANAOPINGA MWENGE KUWAJIBISHWA


PICHA ZOTE NA FRANCIS GODWIN
Mkuu  wa mko  wa  Mbeya  
Bw  Abas Kandoro  (kulia) 
akimkabidhi  mwenge  wa 
uhuru mkuu  wa  mkoa  wa
 Iringa  Dr Christine
  Ishengoma baada  
ya  kuwasili  mkoani Iringa
 katika  kijiji cha Igomaa Mufindi
  leo  ukitokea  wilaya ya 
Mbarali  mkoa  wa Mbeya
Wakuu wa wilaya  wa mkoa  wa
 Mbeya na  wananchi  wa wilaya
ya Mbarali  wakiwa katika
 kijiji cha Igomaa  Mufindi 
 kukabidhi mwenge  mkoa  wa  Iringa
Mambao ya mkoa  wa  Iringa
 yavunja  rekodi kwa  kuwa na
 jumbe za  Mwenge za  kisasa 
 zaidi ambazo hakuna mkoa  uliopata  kutengeneza mabango kama haya  nchi nzima


Mkuu  wa mko  wa  Mbeya 
 Bw  Abas Kandoro  (kulia) 
akimkabidhi  mwenge  
wa uhuru mkuu  wa  mkoa
  wa Iringa  Dr Christine
  Ishengoma baada  ya  kuwasili 
 mkoani Iringa katika  kijiji
 cha Igomaa Mufindi  leo  
ukitokea  wilaya ya Mbarali  mkoa  wa Mbeya
Wakuu wa wilaya  wa mkoa  wa 
Mbeya na  wananchi  wa wilaya
 ya Mbarali  wakiwa katika kijiji 
cha Igomaa  Mufindi  kukabidhi
 mwenge  mkoa  wa  Iringa
Mambao ya mkoa  wa  Iringa 
yavunja  rekodi kwa  kuwa na jumbe 
za  Mwenge za  kisasa  zaidi ambazo 
hakuna mkoa  uliopata  
kutengeneza mabango 
kama haya  nchi nzima

0 comments:

 
Powered by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa