Home » » Swala la kuhamia kwenye mfumo wa digitali laanza kupokelewa kwa mikono miwili na watanzania wote

Swala la kuhamia kwenye mfumo wa digitali laanza kupokelewa kwa mikono miwili na watanzania wote



 Hizi ni sehemu ya nyumba ambazo zimeipokea vyema taarifa ya kuhamia kwenye mfumo wa Digitali kuanzia januari 1,2013.ambapo wakazi wa nyumba hizi zilizopo eneo la Ilula,Mkoani Iringa wameamua kuanza tizi sasa kwa kuweka mambo sawa ki namna hii.
 Hapa hata Majirani hawawezi cheza mbali.
 kama kawa kama dawa,Digitali hoyeeeeee.......
Picha na Michuzi Blog

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa