Home » » semina ya ukatili wa kijinsia kwa wanahabari wa mkoani iringa

semina ya ukatili wa kijinsia kwa wanahabari wa mkoani iringa


 Mwanahabari  Francis Godwin ambaye ni naibu katibu mkuu  wa klabu ya  waandishi  wa habari mkoa  wa Iringa (IPC) akitoa maelekezo mbele ya  wanahabari  mkoa  wa Iringa  (hawapo pichani) juu ya jitihada  zilizofanywa na vyombo  vya habari nchini katika kuibua habari  za  ukatili  wa kijinsia wakati  wa mafunzo ya  siku moja yaliyoandaliwa na AFNET na kufanyika mjini Iringa
Picha na Francis Godwin

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa