Home » » Baba Mzazi Wa Mwanahabari Lukelo Mkami Azikwa Kijijini Kwao Mufindi

Baba Mzazi Wa Mwanahabari Lukelo Mkami Azikwa Kijijini Kwao Mufindi


Mamia ya wakazi wa kijiji cha Kasanga Wilaya ya Mufindi na wakazi wa Iringa  alikoishi marehemu , jana walishiriki mazishi ya Marehemu Beny Mkami mwipopo ambaye ni baba mzazi wa mwanahabari Lukelo  Mkami Mwipopo .Marehemu Mkami alipata kulitumikia Taifa Kama mwalimu na  baadae akawa Dean of Students kwenye  Chuo Kikuu cha RUCO mjini IRINGA. Mungu Amlaze Mahali Pema Peponi, Amen. 
Picha kwa hisani ya Francis Godwin.

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa