.jpeg)
“Lengo la kugawa nishati hii safi ya kupikia ni kuunga mkono juhudi za Kinara wa Nishati Safi ya Kupikia Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Nategemea Watendaji wa Kata Mitaa na Vijiji ndo wenye watu hadi ngazi ya chini kupitia njia hii watakuwa mabalozi wazuri wa matumizi ya nishati safi ya kupigia.”Kauli hiyo imetolewa na Mbunge Wa Jimbo la Mafinga Mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Mheshimiwa Cosato Chumi alipokuwa akikabidhi mitungi 60 ya gesi kwa Watendaji wa Kata, Mitaa na Vijiji wa Jimbo la Mafinga Mjini lengo likiwa ni kusambaza matumizi Ya Nishati Safi ya kupikia na kuunga mkono juhudi...