Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Katibu
Tawala wa Wilaya ya Iringa, Martin Mlwafu akifungua mkutano wa kujadili
upangaji wa mipango ili kuboresha upatikanaji wa huduma bora za afya
katika halmashauri ya wilaya ya Iringa uliofanyika mjini Iringa leo.
Afisa Uchechemuzi (Advocacy Strategies) kutoka TACOSODE, Abraham Kimuli akifafanua jambo wakati mkutano.
Mkutano
huo wenye madhumuni ya kushirikiana katika matokeo ya utekelezaji wa
mradi wa CEGO (citizens engaging in government oversight in health
service provision ) kwa kupitia mfumo wa ufuatiliaji wa uwajibikaji
jamii (social accountability monitoring-SAM ).
Mradi huo unatekelezwa na TACOSODE kwa ufadhili wa watu wa marekani (USAID).
Mkutano
huo pia unatoa fursa ya kujadili changamoto mbalimbali zinazoikabili
sekta ya afya na kuadhiri kwa kiasi fulani upatikanaji wa huduma bora za
afya kwa wananchi wa halmashauri hiyo.
Secretarieti kutoka TACOSODE wakifuatilia majadiliano.
Washiriki wakifuatilia kwa umakini
Makamu Mwenyekiti wa TACOSODE, Leonard Lugenge akitoa maneno ya utangulizi kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.
0 comments:
Post a Comment