Home » » MAKUBWA HAYA :MBUZI AZAA MTOTO MWENYE SURA YA BINADAMU

MAKUBWA HAYA :MBUZI AZAA MTOTO MWENYE SURA YA BINADAMU


 Mtoto wa  mbuzi aliyezaliwa akiwa na sura ya  binadamu 
kuanzia shingoni hadi  kichwani na kuanzi
a kifuani kushuka chini ni mbuzi halisi ni  tukio
  lililotokea  juzi ktk tarafa  ya  Pawaga Iringa kijiji  c
ha Isele na  mbuzi  huyo kuzikwa kwa  heshima
 zote kama  binadamu. Na Francis Godwin

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa