............................................................... Wananchi na askari wa JKT Mafinga wilayani Mufindi wamefanikiwa kuuzima moto mkubwa uliozuka jana katika msitu wa Taifa wa Sao Hill Mufindi na kupelekea msafara wa rais Jakaya Kikwete kukwama kupita kwa muda .
Moto huo ambao chanzo chake hadi sasa bado kufahamika ulizimwa jioni ya jana.
CHANZO FRANCIS GODWIN
0 comments:
Post a Comment