Home » » NEWS ALERT: DIWANI MWINGINE WA CCM KILOLO AFARIKI DUNIA

NEWS ALERT: DIWANI MWINGINE WA CCM KILOLO AFARIKI DUNIA


Madiwani  wa Halmashauri ya
  Wilaya  ya  Kilolo Iringa 
wakimkumbuka diwani  
 mwenzao aliyefariki 
kikao ambacho kilihudhuriwa 
na diwani wa kata ya Ibumi 
Jeremia Ikanyagwa ambae 
leo pia amefariki dunia na
 kufanya idadi ya madiwani 
watatu hadi sasa  kufariki
 katika wilaya hiyo kwa 
kipindi cha miaka hii mitatu
. KWA HISANI YA FRANCIS GODWIN

0 comments:

 
Powered by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa