wa chini ya ulinzi mkali wakati akiwasiri katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Iringa leo.
Baadhi ya wafusi wa chama hicho wakiteremka katika kalandinga la Polisi.
Kada
wa Chadema Frank Mwaisumbe akiingia na viongozi wengine katika viwanja
vya mahakama hiyo huku wafuasi wao wakizuiwa kutoingia katika eneo la
mahakama.
Sehemu
ya umati wakazi wa Manispaa ya Iringa na vitongoji vyake wakiwa nje ya
mahakama hiyo wakati wakifuatia mwenendo wa shutuma inayomkali mbunge wa
jimbo hilo kupitia Chadema.
Gari lililombeba mbunge wa jimbo la Chadema wakati akifikishwa mahakamani.
PICHA NA JUMA MTANDA
0 comments:
Post a Comment