Home » » SEHEMU YA BARABARA YA IRINGA - DODOMA ITAKAYOWEKWA JIWE

SEHEMU YA BARABARA YA IRINGA - DODOMA ITAKAYOWEKWA JIWE



Hapa  ni eneo la simani  wilaya ya Iringa vijijini  ujenzi  uiendelea na hii ni kazi nzuri a  Tanroads mkoa  wa Iringa katika  usimamizi barabara hii itakayofungua  fursa  kwa  mikoa ya  kusini itagharimu zaidi ya Tsh bilioni 222 na  leo majira ya saa 3 asubuhi  itawekwa jiwe la msingi na Rais Jakaya  Kikwete 

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa