Dereva boda boda Japheth Aser akiwa
na abiria wake Terresia Mapiu wakielekea eneo la Retco Bar ambapo
walipata ajali mbaya ya boda boda kuhama njia na kutumbukia
katika mtaro na kupelekea kujeruhiwa vibaya wakati wa ziara ya
waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa
Wananchi wakishuhudia ajali hiyo mbaya iliyotokea wakati wa msafara
wa Lowasa leo hapa ni baada ya boda boda hiyo kupata ajali
katika mtaro ni boda boda yenye namba T 495 CCR
Dereva wa boda boda hiyo ambae ni majeruhi akiwa amepakiwa katika buti ya gari lenye namba T 910 CGA kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa baada ya ajali hiyo mbaya Mmoja kati ya madereva boda boda ambae jina halikuweza kufahamika akisogea kutoa msaada kwa mwenzake aliyehifadhiwa katika buti ya gari baada ya ajali kutokea Dereva boda boda akiwa hoi ndani ya buti ya Taxi akikimbizwa Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa Muuguzi Teresia Mapiu ambaye ni muumini wa kanisa la Overcomers POwer Center (OPC) mkoani Iringa akisubiri matibabu baada ya kupata ajali mbaya ya boda boda wakati akiwa kwenye msafara wa waziri mkuu mstaafu Edward LOwassa leo mjini Iringa Hivi ndivyo muuguzi Teresia Mapiu alivyojeruhiwa katika ajali hiyo mbaya mmoja kati ya madereva boda
Dereva wa boda boda hiyo ambae ni majeruhi akiwa amepakiwa katika buti ya gari lenye namba T 910 CGA kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa baada ya ajali hiyo mbaya Mmoja kati ya madereva boda boda ambae jina halikuweza kufahamika akisogea kutoa msaada kwa mwenzake aliyehifadhiwa katika buti ya gari baada ya ajali kutokea Dereva boda boda akiwa hoi ndani ya buti ya Taxi akikimbizwa Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa Muuguzi Teresia Mapiu ambaye ni muumini wa kanisa la Overcomers POwer Center (OPC) mkoani Iringa akisubiri matibabu baada ya kupata ajali mbaya ya boda boda wakati akiwa kwenye msafara wa waziri mkuu mstaafu Edward LOwassa leo mjini Iringa Hivi ndivyo muuguzi Teresia Mapiu alivyojeruhiwa katika ajali hiyo mbaya mmoja kati ya madereva boda
boda
kushoto akiwa na muuguzi
wa Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa
wakimsaidia dereva boda boda Japheth Aser aliyejeruhiwa katika ajali
ya boda boda iliyotokea wakati wa msafara wa LOwassa
Mashuhuda wakishuhudia ajali hiyo
mbaya kwa kuitazama piki piki
ikiwa katika mtaro eneo la
Retco bar
barabara ya Iringa -Dodoma mjini Iringa
PICHA ZOTE NA FRANCIS GODWIN
MZEE WA MATUKIO DAIMA
MZEE WA MATUKIO DAIMA
0 comments:
Post a Comment