Home » » Anaomba Msaada Wa Mtibabu...!

Anaomba Msaada Wa Mtibabu...!



Afya

ya mtotoJuliana inuka mkazi wa kijiji Cha Mavanga wilaya ya Ludewa 
mkoani Njombe aliyelazwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu 
zaidi ni mbaya kwa sasa kula wala kunywa anatumia mipira maalum.

Hata
hizo inadaiwa kuwa jitihada zinazofanywa na madaktari na wauguzi wa 
Hospitali hiyo ya Muhimbili kwa mtoto Juliana ni kubwa sana ambazo 
zinatia moyo kwa wauguzi wa mtoto huyo waliopo hapo. 



Hawa
ni wadau waliojitokeza kuchangia kwa siku mbli hizi ni pamoja na Frank
Mchomvu (Tsh 11,000) na Atuboneksye Massapa (Tsh.20,000)mtandao WA FRANCIS GODWIN unaendelea
kuwashukuru wote wanaoendelea kutoa michango yao kunusuru uhai wa mtoto
Juliana ambaye ni yatima
,

Mtandao wa Francis Godwin unaendelea kuwapongeza wote wanaoendelea 
kuguswa na kuungana na wadau wengine kumchangia fedha za matibabu.





 Mtoto
Juliana kama anavyoonekana akiwa ameungua uso wake kwa moto ni yatima 
anahitaji msaada wako ili kunusuru maisha yake waweza kutuma mchango 
wako kwa njia ya M-PESA katika namba hii 0754 026 299 au Tigo Pesa 0712 
750199 namba hizi ni za  Bw. Francis Godwin
Nawaomba tuungane kufanikisha kuokoa maisha ya mtoto Juliana Mwinuka na 
Mungu atatuongezea zaidi

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa