Home » » MAPOGOLO MABINGWA KOMBE LA MBUNGE FILIKUNJOMBE KATA YA MILO

MAPOGOLO MABINGWA KOMBE LA MBUNGE FILIKUNJOMBE KATA YA MILO


Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe Deo Filikunjombe akimkabidhi kombe kepteni wa timu ya Mapogolo Mathayo Ndendia baada ya timu hiyo kufanikiwa kuichapa Milo kwa jumla ya goli 2-1 katika mchezo wa fainali ya kombe la Filikunjombe



Umati wa mashabiki wakishuhudia mchezo huo


Si wanawake ,watoto wala wazee wote walijitokeza uwanjani




Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akiwa na wachezaji wa timu ya Mapogolo ambao ndio waliibuka washindi



0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa