Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe Deo Filikunjombe akimkabidhi kombe kepteni wa timu ya Mapogolo Mathayo Ndendia baada ya timu hiyo kufanikiwa kuichapa Milo kwa jumla ya goli 2-1 katika mchezo wa fainali ya kombe la Filikunjombe
Umati wa mashabiki wakishuhudia mchezo huo
Si wanawake ,watoto wala wazee wote walijitokeza uwanjani
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akiwa na wachezaji wa timu ya Mapogolo ambao ndio waliibuka washindi
0 comments:
Post a Comment