Home » » Rais kikwete alipo wasili mkoani Iringa leo kufunga wiki ya maji kitaifa

Rais kikwete alipo wasili mkoani Iringa leo kufunga wiki ya maji kitaifa



Rais Kikwete akiwapungia mkono watu mbalimbali wakiwemo viongozi mbalimbali wa Serikali mkoa wa Iringa (hawapo pichani) waliofika kumpokea mara baada ya kuwasili leo mchana kwenye uwanja wa ndege wa Nduli.Rais Kikwete amewasili leo kwa ajili ya kufunga maadhimisho ya wiki ya maji Kitaifa iyanayofanyika katika uwanja wa Samora mkoani Iringa
 Rais Kikwete akivalishwa skafu na vijana wa skauti,shoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr Christina Ishengoma
 Rais Kikwete akisalimiana na viongozi wa kamati na Ulinzi 
Rais Kikwete akisalimiana na Kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya ASAS, Salim ‘Asas’ Abri muda mfupi baada ya kuwasili mjini Iringa. 
































Picha zaidi Ingia hapa: Jiachie Blog

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa