Home » » WARSHA KWA WANAHABARI NCHINI JUU YA UANZISHWAJI WA DAFTARI LA UVUNJIFU WA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI

WARSHA KWA WANAHABARI NCHINI JUU YA UANZISHWAJI WA DAFTARI LA UVUNJIFU WA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI


washiriki wa  warsha   hiyo  kutoka kushoto Bw Ally Hengo ,Lulu George na Haji Nassor Mohamed  wakiwa  darasani
Mwanahabari  Lulu  George  na  Haji Nassor Mohamed  wakifuatilia  warsha   hiyo  wakati  mkufunzi  akitoa mada leo

Wakufunzi wakiwa  Kajubi Kulia na Deo  wakifuatilia mjadala
mwanahabari  mkongwe  nchini  Saimon Mkina  katikati  akiwa katika mafunzo hayo

Wanahabari  Nkungu  kutoka  Singida na Zacharia  (kulia)  kutoka Manyara  wakiwa katika  warsha   hiyo

Mwanahabari  wa gazeti la  Nipashe  Tanga  Bi  Lulu  George  akifuatilia mada  mbali mbali  wakati wa  warsha  ya  uanzishwaji  wa daftari  la  uvunjifu  wa  uhuru wa  vyombo  vya habari nchini
Mwezeshaji Deo Bwile  kutoka TRHDC akiwasilisha  mada  mbele ya  wanahabari  leo
Wanahabari  wakifuatilia mada  kutoka kwa mwezeshaji  Deo Bwile  kutoka  TRHDC
  Wawezeshaji  wa warsha  ya  siku  mbili  kwa  wanahabari    wakibadilishana  mawazo katika ukumbi  wa Tanga Beach  Hotel
Washiriki  wakijiandikisha  kwa  kuanza  warsha ya  siku  mbili
Mwanahabari  Abby Nkungu   kutoka  Singida akiteta na mmiliki  wa mtandao  wa matukio  daima Francis Godwin  kulia kabla ya  kuanza  mafunzo hayo
Mwandishi  wa Star Tv  Manyara  Bw  Zacharia Mtingandi  akiteta  jambo  na Bw Nkungu kushoto
Katibu  mtendaji  wa baraza la habari Tanzania (MCT)  Kajubi Mukajanga  akifungua  mafunzo  ya siku  mbili kwa wanahabari nchini mjini Tanga  leo
Mwanahabari Mercy  Sekabogo  akiwa katika mafunzo hayo

Mwanahabari   akiperuzi  taarifa  mbali mbali kabla ya  kuanza  kwa  warsha   hiyo PICHA NA MATUKIODAIMABLOG

0 comments:

 
Powered by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa