Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Lori hilo likiwa limeziba njia muda huu
Abiria wakiwa wanajichimbia njia yao ili waanze kupita
Abiria wakiwa wanaendelea kuchimba njia muda huu
Magari yameanza kupita porini baada ya kushindikana kutolewa kwa Lori hilo lililoziba Barabara
Mengine yanakatiza kwenye mashamba ya watu
Picha na Iringa yetu
Home »
» BREAKING NEWS: LORI LA MIZIGO LAPATA AJALI ENEO LA NYOLOLO IRINGA NA KUSABABISHA FOLENI KALI MUDA HUU, ABIRIA WAAMUA KUCHIMBA NJIA YAO.
0 comments:
Post a Comment