Home » » KIWANDA CHA DABAGA VEGETABLE &FRUIT CANNING CO.LTD CHALALAMIKIWA KWA UCHAFUZI WA MAZINGIRA IRINGA

KIWANDA CHA DABAGA VEGETABLE &FRUIT CANNING CO.LTD CHALALAMIKIWA KWA UCHAFUZI WA MAZINGIRA IRINGA

Hali  ilivyo nje ya  kiwanda  hicho 
Wakati  Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imefanikiwa  kuwa  mshindi  wa pili katika  tuzo ya usafi  wa Mazingira kitaifa mwaka 2013 ikiongozwa na Halmashauri ya Moshi iliyoshika nafasi ya kwanza hali imeanza  kuwa tofauti katika  kiwanda cha Dabaga Vegetable kutokana na uchafu  uliokithiri kiwandani hapo .
 Uchunguzi  uliofanywa na mtandao huu  wa www.matukiodaima.com na www.francisgodwin.blogspot.com umebaini  kuwepo kwa hali mbaya ya  uchafu katika  kiwanda  hicho na iwapo hatua  za haraka  hazitachukuliwa upo uwezekano  wa magonjwa ya mlipuko kujitokeza katika eneo hilo.

Tayari  wananchi  wameitupia lawama  ofisi ya afya manispaa ya Iringa kuwa  imeshindwa  kazi  kutokana na kushindwa  kufuatilia uchafuzi huo  wa mazingira  eneo hilo. 

Picha na Francis Godwin

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa