Home » » MTUHUMIWA WA MAUWAJI YA MWONGOSI KUFIKISHWA MAHAKAMANI MAY 9

MTUHUMIWA WA MAUWAJI YA MWONGOSI KUFIKISHWA MAHAKAMANI MAY 9

 
 

Huyu ndie mtuhumiwa wa mauawaji ya Mwangosi (kulia)
.............................................................................


MTUHUMIWA wa mauwaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha Chanel Ten mkoani Iringa marehemu Daudi Mwangosi askari wa FFU mwenye namba G2573 Pasificus Cleophace Simoni (23) ambae  wiki  mbili  zilizopita alikwama kufikishwa mahakamani kutokana  kuwa ni mgonjwa  sasa  kufikishwa tena mahakamani May 9
Chanzo: Francis Godwin

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa