Home » » Mafunzo Ya Wanahabari Iringa Yamalizika Kwa Mafanikio

Mafunzo Ya Wanahabari Iringa Yamalizika Kwa Mafanikio



Mshiriki wa Mafunzo na Katibu Mkuu wa IPC Frank Leornad akichangia jambo katika mafunzo


Lilikuwa ni Darasa lililochangamka hapa washiriki wakimtania mmoja wa washiriki anayefahamika kwa jina la Gustav, hapa Gustav alikuwa anamuuliza mpiga picha" eti vigezo gani vimezingatiwa kusema mi ni mtu mfupi nauliza" ?


Washiriki wakipata chakula cha mchana baada ya kumaliza mafunzo
Picha Ya Pamoja Ya Washiriki Wa Mafunzo Pamoja na Mkufunzi Msaidizi
Picha zote na Mjengwa Blog 


0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa