Mhe.
Joseph Mbilinyi mbunge wa Mbeya akiunguruma kwenye mkutano huo wa
wananchi wa Iringa wa kumpa ridhaa Mbunge wao Mhe. Peter Msigwa kugombea
tena kwa miaka 5 katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Octoba mwaka huu.
Mwimbaji
wa nyimbo za injili Flora Mbasha akiimba moja ya nyimbo zake kwenye
mkutano huo uliofanyika leo Jumapili July 18, 2015 mjini Iringa.
Na Jiachie Blog
|
Home »
» TUKIO KATIKA PICHA: MSIGWA APATA RIDHAA YA WANANCHI KUONGOZA MIAKA MITANO MINGINE KITI CHA UBUNGE IRINGA MJINI.
TUKIO KATIKA PICHA: MSIGWA APATA RIDHAA YA WANANCHI KUONGOZA MIAKA MITANO MINGINE KITI CHA UBUNGE IRINGA MJINI.
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment