WATU
kadhaa wanadaiwa kupoteza maisha huju wengine wengi wakijeruhiwa baada
ya basi la Kampuni ya NEW FORCE ONE namba za usajili T483 CTF walilokuwa
wakisafiria kutoka Mbeya kwenda Jijini Da es Salaam leo kupinduka
katika eneo la Mahenge Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa barabara kuu ya
Iringa- Morogoro.
Ajali
hiyo imetokea mchana huu na jitihada za kusafirisha majeruhi
zinaendelea. FK Blog inatoa pole kwa wote waliofikwa na msiba huo na
itawajuza zaidi kuhusiana na ajali hiyo.
0 comments:
Post a Comment