Mkuu wa mkoa wa Iringa mwalimu Amina Masenza (wa tatu kushoto) akiongoza mazoezi ya viungo katika uwanja wa samora Leo wa pili kushoto ni katibu tawala wa mkoa wa Iringa wamoja Ayubu |
DC Iringa Richard Kasesela wa kwanza kulia akishiriki mazoezi ya riadha kutoka uwanja wa Samora |
Washiriki wa mazoezi wakiwasili ufisi ya RC Iringa wakitokea uwanja wa Samora |
Afisa michezo mkoa wa Iringa Kenedy Komba akiorodhesha majina ya wakuu wa Idara walioshiriki mazoezi leo ni kuwabana wamnaokwepa mazoezi |
Wanamazoezi wakitoka uwanja wa samora |
Mkazi wa Iringa akiwa amebeba pombe aina ya komoni asubuhi ya leo pombe hii inatengenezwa kwa mahindi jambo ambalo serikali ya mkoa imepigamarufuku matumizi mabaya ya chakula |
Mkazi wa Iringa akipishana na washiriki wa mazoezi huku akiwa amebeba pombe ya komoni inayotengenezwa kwa mahindi |
RAS Iringa na RC Masenza kulia wakiwa katika mazoezi |
RC Iringa Amina Masenza kulia akiongoza mazoezi saa 12 asubuhi ya leo |
Afisa habari Manispaa ya Iringa Sima Bingilengi kushoto akiwajibika |
Mwanahabari Manispaa ya Iringa Janeth Matondo kulia pia akishiriki mazoezi |
DC Kasesela katikati wa pili kulia akiwa na wadau wa kwanza kulia ni Geofrey Mungai |
Mzee Vitus Mushi akiwajibika mazoezini |
DC Iringa Richard Kasesela wa tatu katikati kulia akiwa na mkurugenzi Manispaa ya Iringa Dr Wiliam na mwanasheria wa Iringa wa pili kulia |
0 comments:
Post a Comment