Home » » RC IRINGA AONGOZA WANANCHI KATIKA MAZOEZI KIAFYA UWANJA WA SAMORA ASUBUHI YA LEO ,SASA NI KILA JUMAMOSI ASUBUHI

RC IRINGA AONGOZA WANANCHI KATIKA MAZOEZI KIAFYA UWANJA WA SAMORA ASUBUHI YA LEO ,SASA NI KILA JUMAMOSI ASUBUHI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Mkuu  wa mkoa  wa  Iringa  Amina  Masenza  katikati   wa  pili kulia  akiwa na mbunge  wa   viti  maalum mkoa  wa Iringa  Ritta  Kabati (CCM)  wakiongoza mazoezi  kwa wanawake  watumishi na  wasio  watumishi  pamoja na  baadhi ya  wanaume  leo  katika  uwanja  wa Samora  mazoezi  ambayo  yataendelea  kila jumamosi  mjini hapa Picha  zote na MatukiodaimaBlog
Baadhi ya  askari  wanawake  walioshiriki  mazoezi  leo   uwanja  wa Samora  Iringa
Wanawake na wananchi  wakitoka  uwanja wa  samora  katika  mazoezi leo
Mazoezi  kwa afya  yako
Mmoja  ya  wanajeshi  Bw  Kimbavala  aliyeshiriki  kutoa mazoezio  leo
DC Kasesela  akiwa katika  picha ya  pamoja na  watumishi wa Tanesco  Iringa  walioshiriki mazoezi
Mazoezi  yakiendelea  kwa wote
RC  Iringa  wa  tatu  kushoto  akifuatiwa na mbunge Kabati
RC  akionyesha  uwezo  katika mazoezi
DC  Richard  Kasesela  akiwajibika katika mazoezi
Kasesela  akionyesha  mazoezi  leo  uwanja wa  samora  Iringa
Afisa  habari  Manispaa ya  Iringa  Sima Bingileki  katikati  akishiriki mazoezi
Baadhi ya  maofisa  watendaji kata  wakiwa katika mazoezi
vyombo  vya ulinzi na usalama  mkoa  wa  Iringa  nanvyo vyashiriki mazoezi  kwa  kuzunguka  mtaani mji  wa Iringa
RPC  Julius  Mjengi kulia  akiongoza  mazoezi  kwa askari  polisi na majeshi  mengine mkoa  wa Iringa
Ni mazoezi kwa  wote  mkoa  wa  Iringa  Picha  zote na MatukiodaimaBlog

0 comments:

 
Powered by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa