Aga Khan Health Services Resumes Delivery Services at Iringa Primary medical Center.

By. Dennis Gondwe, IRINGA

Aga Khan Health services Iringa has resumed delivery services and has registered its first delivery today morning.
Speaking with Daily news in an exclusive interview the Joining Hands Initiative project manager Anitah Muruve said that both the mother and the baby are in good condition. She said the delivery services have been established under Joining Hands: Improving Maternal, Newborn and Child Health (JHI) Project which is a Canadian International Development Agency (CIDA) funded initiative that aims to contribute to improved reproductive and maternal, newborn and child health (MNCH) in fifteen districts across five target regions in Tanzania.
Maruve said that the project is focusing on improving quality of and access to maternal, newborn and child health services; increasing utilization of MNCH service at primary care level.
The project manager added that the project objectives are improving maternal, newborn and child health practices through behaviour change communication (BCC) and health promotion (HP)  and enhancing knowledge transfer and exchange on maternal, newborn and child health  through a strong public private partnership (PPP) approach under which the project is being implemented. The delivery services are open to the public. 
The Aga Khan Health Services Tanzania will continue to establish deliveries in its other health facilities in Mwanza, Dodoma, Mbeya and Morogoro regions.
Speaking on the services received, the mother of the new born baby Kerstin Scheffler said she has enjoyed and appreciate the services offered throughout she has been at the centre.
Veronica James, The Iringa Aga Khan hospital Manager said her centre is keeping on improving her services in order to offer better health care services to the people. She further, calls upon people to go for better maternal and child health.
The project has got three phases as project implementation planning (PIP), inception and implementation.

 The writer is Dennis Gondwe, Regional Information Officer at Regional Commissioner’s Office-Iringa


ASAS ASAIDIA UJENZI WA MABWENI KILOLO



Mfanyabiashara  maarufu  mkoani Iringa na kada wa chama cha mapinduzi (CCM) Salim Abri Asas ( wa pili  kulia) akikabidhi msaada wa  mifuko 200 ya saruji yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 3 .2 kwa mkuu wa wilaya ya Kilolo Bw Gerald Guninita hivi karibuni ofisini kwake,  wanaoshuhudia ni mwenyekiti  wa Halmashauri ya Kilolo Joseph Mhumba ,kushoto na mkurugenzi wa Halmashauri ya Kilolo Momahend Gwalima
wadau  wa elimu  wilaya ya  Kilolo  wakiwa na mfanyabiashara  Salim Asas,picha kwa hisani ya mdau Francis Godwin-Iringa.

MAHAFARI YA 15 YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA TUMAINI IRINGA

 GEOFFREY GEORGE ANANNIAH AKIWA KATIKA MAHAFALI 


 HAPA NI FULL HAPPY PIPO 
 DOGO KATI KATI AKIWA ANAJARIBU KOFIA 

 WADAU KIBAO KATIKA MAHAFALI HAYO



MWANDISHI WA HABARI TBC AIBIWA KAMERA NA KOMPYUTA PAKATO(LAPTOP) CHUMBANI KWAKE.




Mwandishi wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1)  Ndugu Hosea Cheyo.





Habari na Ezekiel Kamanga, Iringa.


Mwandishi wa habari wa wa Shirika la Utangazaji Tanzania TBC1 mkoani Mbeya Bwana Hosea Cheyo ameibiwa Kamera na kompyuta pakato yaani Laptop vyenye thamani ya shilingi 1,800,000 katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Happy Lodge iliyopo jirani na kituo kikuu cha mabasi cha Iringa, Oktoba 2 mwaka huu majira ya 1:30 asubuhi.





Mwandishi wa habari huyo alikuwa mkoani Iringa kuhudhuria semina ya waandishi wa habri wa Nyanda za Juu Kusini inayohusu mchakato wa Katiba iliyoandaliwa na Baraza la Habari nchini MCT kuanzia Oktoba 22 mwaka huu hadi Oktoba 24 mwaka huu katika Ukumbi wa Maktaba uliopo Manispaa ya Iringa.





Bwana Cheyo amesema Oktoba 24 asubuhi alipokuwa kuoga alifunga mlango kwa ufunguo na aliporudi alishangaa kuona vifaa vyake havipo, hali iliyomfanya kutoa taarifa kwa mhudumu wa nyumba hito ya kulala wageni na hakuwa na maelezo ya kutosha.





Mwandishi huyo amedai kuwa mbinu iliyotumika kufungua mlango wake ni kutumia ufunguo bandia na kisha wezi hao kuingia kiurahisichumbani humo na kuondoka na vifaa vyake vya kazi.





Aidha Bwana Cheyoaliotoa taarifa Kituo cha Polisi Mkoani humo na kufunguliwa jalada lenye namba IR/RB/6350/012 na kwamba Jeshi la polisi linamshikilia mhudumu wa nyumba hiyo ya kulala wageni kwa mahojiano zaidi.





Hata hivyo ilibidi Bwana Cheyo kushindwa kuendelea na semina  ili kushughulikia tatizo hilo, huku Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa Habari mkoani Mbeya Bwana Christopher Nyenyembe, amempa pole  mwandishi huyo wa TBC kwa kuibiwa nyaraka muhimu na kuwataka wamiliki wa nyumba za wageni kukomesha vitendo vya wizi vinavyofanywa na wahudumu wao.

BREAKING NUUUUZ: HANDAKI LA AJABU LAONEKANA ENEO LA KITANZINI IRINGA.. SHUHUDIA


 Umati wa watu waliofika katika eneo la kitanzini kuangalia handaki hilo
 mkuu wa Wilaya Ya Iringa mjioni Dkt Leticia Warioba akihojiana na mmiliki wa numba ambayo handaki hilo limeonekana
 Handaki lenyewe muonekano wa sehemu ya kuingilia
 Mkuu wa Wilaya kushoto aipokea maelekezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazio wa kampuni ya maji Iringa

 Wananchi wakendelea kutazama kila mmoja akiwaza lake

Handaki la ajabu limeonekana katika eneo la kata ya kitanzini mtaa wa sokoni
Katika tukio hilo lililokuwa gumzo kubwa katika eneo hilo huku kila mmoja akisema lake
Mtandao huu ulipokutana na mmiliki wa nyumba hiyo hakuweza kuwa na majibu yakuridhisha  huku akisema yeye hafahamu shimo hilo limetokea wapi.

Handaki hilo ambalo lilionekana jana na wachimbaji wa mitaro wa JR wanaoshuhulika na  uwekwaji wa mabomba mapya ya maji safi wanaeleza katika kuchimba ndipo walipokutana na chemba hiyo ikiwa imefunikwa na kudhani kuwa inatumika kama shimo la choo ya nje lakini haikuwa hivyo maana lilikuwa wazi limejengewa na hakuna dalili ya kutumika kama choo.

Akizungumza mmoja wa wananchi aliyeingia katika handaki hilo Abdukareem ameeleza kuwa yeye ni mkazi wa eneo hilo na alipopata taarifa alifika akiwa na mwenzake aliyefahamika kwa jina la Salehe na kukubaliana kuingia ndani ili kufahamu kilichopo.

Ameeleza kutokana na shimo hilo kuwa refu walitafuta ngazi lakini hawakufanikiwa kwani ngazi hiyo ilikuwa pana na kuamua kutafuta fimbo kubwa ya muanzi na kamba na ndipo walipofanikiwa kuingia ndani.

Anazidi kueleza kuwa walipofika ndani walikuta chumba ambacho ni kama futi tatu na kuona vidirisha vidogo kwa mbele huku bado kukiwa kumejengewa kwa zege na kubainisha kuna muendelezo wa chemba nyingine ambapo hawakuweza kuendelea kutokana na kuzibwa.

mkuu wa Wilaya afika eneo la tukio

Mkuu wa wilaya ya Iringa Dkt Leticia Warioba akafika katika eneo la tukio huku akiwa na wa wafanyakazi wa  Kampuni ya JR pamoja na afisa wa usalama ambao waliishia kuangalia njia hiyo pasipo kuingia ndani ya handaki hilo.

nini maoni ya wakazi waliofika katika eneo hilo?

Wengi wa wakazi waliofika katika eneo hilo hawakusita kueleza hisia zao huku wengine wakieleza labda ni mahandaki yaliyokuwa yakitumiwa na Wajerumani enzi za ukoloni, huku wengine wakieleza labda handaki hilo limekuwa likitumiwa na majambazi kama sehemu za kujificha na kuhifadhia mali walizoiba japo hapakuonekana na mali aina yeyote.

PICHA NA FRANCIS GODWIN

MTUHUMIWA WA MAUAJI WA DAUDI MWANGOSI AFIKISHWA TENA MAHAKAMANI LEO


Mtuhumiwa Pacficus akipelekwqa mahakamani chini ya ulinzi mkali 

Mtuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha Channel Ten Daud Mwangosi leo amefikishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mfawidhi ya Wilaya kujibu shitaka lilalomkabili.Huku akiwa chini ya ulinzi mkali wa askari.



Akisomewa shitaka lake na mwendesha mashtaka wa serikali Mkuu lilian Ngilangwa , amesema mtuhumiwa huyo ambaye ni askari mwenye namba G2573 Pasificus Cleophace Simoni (23) mkazi wa FFU Iringa, anakabiliwa na shitakala la mauaji ya makusudi.




Amesema mtuhumiwa huyo mnamo 02 Septemba mwaka huu katika kijiji cha Nyololo Wilaya ya Mufindi Mkoa wa Iringa alimuua Daudi Mwangosi kwa makusudi kinyume na kifungu cha sheria namba 148 kifungu kidogo 5A.i cha makosa ya jinai.




Mbele ya Hakimu Mkuu Mwandamizi wa mahakama ya hakimu Mfawidhi ya Wilaya Dyness Lyimo mtuhumumiwa hakutakiwa kujibu chochote kwa kuwa mahakama hiyo haiwezi kusikiliza kesi za mauaji.




Kwa mujibu wa kesi za jinai, sheria kifungu 196 kanuni ya adhabu Cap. 16 iliyofanyiwa marejeo mwaka 2002, kinakataza mtuhumiwa wa mauaji ya kukusudia kupewa dhamana.




Mtuhumiwa amerudishwa mahabusu kutokana na kesi yake kukosa dhamana kisheria na kesi hiyo imeahirishwa hadi 7 Novemba mwaka huu itakapotajwa tena mahakamani hapo.


Mtuhumiwa huyo aliletwa chini ya ulinzi mkali wa polisi kaitka gari la polisi lenye number za usajili PT 1467.

Huku waandishi wa habari wakizuiwa kupiga picha jambo lililosababishwa kusukumwa kwa mwandishi wa majira Elias Ally na mmoja wa Polisi hao.

Endless Crop Levy Worries Iringa Farmers


THE ever-demanded crop levy is still a burden to farmers in Iringa, who claim to be compelled to endure with double charges by authorities. Speaking before the Constitution Review Team mid this week, a farmer at Mtwivila Ward said the payments were too much for the farmers to afford. 
"We always pay the levy to the authorities where our farms are located," she said. She was upset that the same levy was slapped on the produce that she ferried home from the farm. She wanted the new constitution to restrict crop levy on poor farmers. 
"It is not fair to subject a farmer to payment of between 70,000 and 80,000/- as crop levy, yet I am not a trader, the food is for home consumption," she lamented. 
The farmer further lamented for another Housing tax, which was executed by the local authorities in the district. "As a widow I worked hard to improve my income and used some of it to renovate my house, which caused me trouble," she said. She claimed that the land authorities have increased the House tax from 6,000/- to 15,000/- after she renovated her house. 

WAKULIMA WALALAMIKIA UJAZO WA LUMBESA




Na Oliver Richard, Iringa
WAKULIMA katika mikoa ya Iringa na Njombe, wameitaka Serikali kupitia Wakala wa Vipimo na Mizani nchini (WMA), kukomesha ujazo wa lumbesa. Wakulima hao waliitaka Serikali kutoa elimu mara kwa mara, kuhusu sheria ya mizani na vipimo, ili kuongeza uelewa katika kukabiliana na tatizo hilo.

Wakulima hao walikuwa wakitoa malalamiko hayo katika mafunzo yaliyoandaliwa na Chama cha Wafanyabiashara na Wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA).

Wakulima hao walisema, ujazo usiozingatia vipimo umekuwa ni kikwazo kikubwa kwao, kwani wafanyabiashara wamekuwa wakiwapunja kutokana na kipimo hicho.

Fikiria Nyambo ni mkulima mkoani hapa, alisema endapo sheria ya mizani itafahamika vizuri kwa wafanyabiashara na wakulima tatizo la lumbesa litakwisha.

“Elimu pia itasaidia kupunguza dhuluma kwa wakulima, ambao wamekuwa wakifanya shughuli za kilimo pasipo kupata manufaa kutokana na lumbesa,” alisema.

“Pia Serikali imekuwa ikipoteza pato lake kutokana na magunia yanayotumiwa na baadhi ya wafanyabiashara hao, kuwa na ujazo mkubwa tofauti na kipimo halali,” alisema Wittnes. Mwinuka.

Kwa upande wake mbeba mizigo (kuli), katika soko kuu la Iringa, Juma Mgongolwa alisema mizigo inayofungwa kwa mtindo wa lumbesa, imekuwa ikidhoofisha afya zao na mara nyingine kusababisha gata vifo kwa vijana wanaofanya shughuli hiyo.

Chanzo: Mtanzania

MTOTO JULIANA MWINUKA LEO KUFANYIWA OPRESHENI CCBRT


Mtoto  Juliana Mwinuka
Majeraha  yaliyotokana na kuungua moto klatika  uso wa mtoto  mtoto  Juliana Mwinuka (16) mkazi  wa kitongoji cha Ushindi kata ya Mavanga  wilaya ya  Ludewa  mkoa  wa Njombe yameanza kuziba taratibu huku leo anategemea  kukutana na madaktari bingwa duniani ambao  wamewasili katika Hospitali ya CCBRT .

Kila mmoja  wetu tunaomba aendelee  kumwomba Mwenyezi Mungu kwa  dini yake ili kuweza  kutenda miujiza  ili mtoto  huyo aweze kupona.

 Mtandao huu unaendelea kuwapongeza wote wanaoendelea kuguswa na kuungana na wadau wengine kumchangia fedha za matibabu ,mtoto Juliana kama anavyoonekana akiwa ameunga uso wake kwa moto ni yatima anahitaji msaada wako ili kunusuru maisha yake waweza kutuma mchango wako kwa njia ya M-PESA katika namba hii 0754 026 299 au Tigo Pesa 0712 750199 namba hizi ni za mmiliki wa Bw Francis Godwin

Nawaomba tuungane kufanikisha kuokoa maisha ya mtoto Juliana Mwinuka na Mungu atatuongezea zaidi

Wakazi Wa Iringa, Waendelea Kutoa Maoni Kuhusu Katiba Mpya


Heny Mkenja, akijaza fomu maalumu ya maoni ya katiba mpya 
Baadhi ya wakazi wa Iringa ,kata ya Mivinjeni wakifatilia maoni ya wenzao kwa makini
Christina Mgongolwa, mkazi wa kata ya mivinjeni amependekeza kwamba katika katiba mpya ijayo,somo la maarifa ya nyumbani lipewe mhimu wake
Picha na Mjegwa Blog

CHUO KIKUU CHA TUMAINI IRINGA WAPATA PIGO


 Viongozi wa chuo pamoja na wanafunzi wakiwa katika gari kuupeleka mwili kuagwa chuoni hapo.
Chuo kikuu cha Tumaini Iringa chapata pigo kubwa baada ya kufariki mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika fani ya elimu ya sanaa.

Mwanafunzi huyo ameambuliwa kwa jina Emanueli Urbani ambaye kwa mujibu wa taarifa alikuwa akisumbuliwa na malaria na kupelekwa kwaajili ya matibabu katika hospitali ya mkoa wa Iringa ambapo ndipo umaui ulimpofika.

Mwili wa marehemu umesafirishwa kuelekea Tarakea Rombo  Kilimanjaro kwaajili ya maziko.

BWANA AMETOA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE. MTANDAO HUU UNATOA POLE KWA WANAFUNZI NA WAHADHIRI WOTE KATIKA CHUO KIKUU CHA TUMAINI IRINGA.
Chanzo: Francis Godwin


CASTLE LAGER SUPER FANS SITA WAPATIKANA, KUPIGIWA KURA KUWAPATA WAWILI.



Meneja wa bia ya Castle Lager Kabula Nshimo (kushoto) akimkabidhi jezi Denis Mlowe kutoka Iringa ambaye ni miongoni mwa washindi sita wa shindano la kuwasaka mashabiki bomba 2 (Castle Lager Super Fans) watakaoungana na mashabiki wengine wa kinywaji hicho maeneo mbalimbali kwenda kushuhudia fainali za Afrika hapo mwakani nchini Afrika Kusini. Washindi hao watapigiwa kura ili kuwapata wawili watakaowakilisha Tanzania kwenye michuano hiyo.
Washindi wakiwa na jezi zenye majina yao mara baada ya kutambulishwa mbele ya waandishi wa habari.
Washindi wote kwa majina yao na sehemu wanazotoka ni Stephen Chuma-Dar es Salaam, John Mosha Dar es Salaam, Firbert Nestory Dar es Salaam, Charles Mbaza Arusha, Denis Mlowe na Yahya Hamza
Kabula akizungumza na waandishi wa habari (hapo pichani) wakati akiwatambulisha washindi hao (kulia) ambao watapigiwa kura ili kuwapata wawili kwenda kuwakilisha Tanzania kwenye kushangilia fainali hizo za Afrika.

Jesca Msambatavangu Aibuka Mshindi Uchaguzi Wa CCM,Mkoa Wa Iringa


Jesca Msambatavangu,amepata kura 338 na kuwashinda wagombea wenzake wawili.

Wanahabari Iringa Wafanya Kikao Cha Maandalizi Ya Kuuga Mwili Wa Vick Macha...!


Waandishi wa habari mkoani Iringa wakiwa katika kikao cha maandalizi ya kusafilisha mwili wa Marehemu Vicki Macha  kwaajili ya mazishi yanayo tarajiwa kufayika kijijini kwao Mkoani Kilimanjaro

Marehemu Vick  akiwa katika poozi  ofisini enzi za uhai wake.

Picha na Said Ng'amilo
 
Powered by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Iringa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa