Home »
» VIJANA WA KKKT IRINGA MJINI WAKIINGIZA IGIZO LA MATESO YA YESU KRISTO
VIJANA WA KKKT IRINGA MJINI WAKIINGIZA IGIZO LA MATESO YA YESU KRISTO
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
|
Kijana wa kwaya ya vijana katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa Iringa mjini Bw Ezekiel Mbyopyo akiwa ametundikwa Msalabani wakati akiigiza igizo la Mateso ya Yesu Kristo igizo lililofanyika Ijumaa kuu wakati wa tamasha la maneno Saba ya Yesu Msalabani (PICHA NA MATUKIODAIMABLOG) |
|
Vijana walioigiza kama wayahudi Brown Mwaipopo (kushoto) na Eston Mgaya wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa Iringa mjini wakimuwamba Msalabani kijana mwenzao Ezekiel Mbyopyo wakati wa Igizo la mateso ya Yesu Kristo siku ya ijumaa kuu |
|
Mwonekano wa Kanisa hilo ambalo liliandaa Igizo la mateso ya Yesu |
|
Kijana aliyeigiza kama Simon akiwa amempokea Yesu Msalaba |
0 comments:
Post a Comment