Taarifa zilizotufikia katika Chumba chetu cha habari ambazo hazijathibitishwa zinasema kuwa basi la JM limepata ajali eneo la Mafinga Jioni hii. Taarifa zaidi zinasema Majeruhi wamekimbizwa Katika Hospitali ya Mafinga . Endelea kufuatilia
Home »
» BREAKING NEWS: BASI LA JM KUTOKA DAR KWENDA MBEYA LAPATA AJALI ENEO LA MAFINGA JIONI HII
BREAKING NEWS: BASI LA JM KUTOKA DAR KWENDA MBEYA LAPATA AJALI ENEO LA MAFINGA JIONI HII
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment