Breaking News: Just in kwa Taarifa tulizopokea muda huu na ambazo
hazijathibitishwa kuwa Basi la Majinja Limepata ajali eneo la Mafinga
likitokea Mbeya na inahofiwa watu wengi kupoteza maisha. chanzo mpaka
sasa inasemekana ni Lori lilikuwa linakwepa mashimo ,na ndipo
likagongana uso kwa uso na Basi hilo Taarifa kamili na Tukio katika
Picha zitafuata mara baada ya kupata uhakika kamili endelea kufuatilia
hapa, Tayari Kikosi kazi cha Blogs za Mikoa kipo eneo la tukio.
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment