Home »
» MAJANGA CHADEMA JIMBO LA IRINGA MJINI ,VIONGOZI WAKE KATA YA RUAHA WASEMA WAMECHOSHWA NA UBABAISHAJI WA MBUNGE MSIGWA WAREJEA CCM ,WAMPA TANO KABATI
MAJANGA CHADEMA JIMBO LA IRINGA MJINI ,VIONGOZI WAKE KATA YA RUAHA WASEMA WAMECHOSHWA NA UBABAISHAJI WA MBUNGE MSIGWA WAREJEA CCM ,WAMPA TANO KABATI
Diwani wa kata ya Mtwivila Vitus Mushi akisaliama na wadau leo
|
Mbunge Ritta Kabati akisalimia
na maofisa wa polisi waliofika kulinda usalama katika mkutano huo |
|
viongozi wa Chadema waliohamia CCM leo katika mkutano wa CCM kuimarisha chama uliofanyika mtaa wa Kwa mwagongo |
|
Aliyekuwa
katibu kata ya Ruaha Juma Kapalampya kushoto akikabidhi nyaraka ya
siri ya Chadema na kadi 40 kwa katibu wa CCM mkoa Hasan Mtenga leo
,kulia ni mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Ritta
kabati |
|
Katibu
wa CCM mkoa akiangalia nyaraka ya siri ya kuhujumu uchaguzi mkuu
iliyotolewa na Chadema taifa ambayo imekabidhiwa kwake na aliyekuwa
katibu kata wa Chadema kata ya Ruaha |
|
Baadhi ya nyaraka za Chadema na kadi |
Makada wa Chadema waliojiunga na CCM Iringa mjini wakila kiapo
Chanzo: Father Kidevu Blog
0 comments:
Post a Comment